Tuesday, September 11, 2012

WAPENDWA WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA MKESHA

WA KUSIFU NA KUABUDU.

 

Tunapenda kuwashukuru watu wote mlio ungana nasi katika mkesha wa kusifu na kuabudu uliofanyika katika kanisa la Lutheran usharika wa Ruanda,Jimbo la Mbeya iliyopo Dayosisi ya Konde. Kwa kweli tuliona Utukufu  wa Bwana ukishuka kwa namna ya ajabu sana. Mungu  awabariki.

Skukrani zetu ziwaendee watu woye waliofanikisha shughuli nzima ya maandalizi.

Kamati ya Maandalizi kwa ujumla chini ya Mwenyekiti wake Ndg TUNTUFYE ARNOLD.

Ndugu wanavyuo wote waliojitoa kwa ajili ya maandalizi yote.

Ndugu wote waliotoka nje ya mkoa kwa ajili ya maandalizi na kuhudhuria.

Pia kwa watu wote walio jitokeza kuungana nasi kwa pamoja ili Tulitukuze Jina la Bwana,MUNGU AWABARIKI. 

Mungu akitupa uzima siku si nyingi mtaziona picha zilizopigwa wakati wa kusifu na kuabudu,mtuwie radhi ni kutoka na sababu zilizopo juu ya uwezo wetu tumeshindwa kuwaletea picha hizo.

No comments:

Post a Comment