Monday, July 6, 2015

Monday, June 29, 2015

JOINING INSTRUCTION YA MAWENI SEKONDARI, MBEYA

Maweni Sekondari ni shule ya Serikali kidato cha kwanza hadi cha site mkoani Mbeya. shule ilianzishwa 2006.
Shule ipo katika jimbo la Songwe, katika wilaya mpya inayotarajiwa ya Songwe kwa sasa ni Chunya. Ili kufika Maweni Sekondari panda mabasi yanayo patikana katika mji mdogo wa Mbalizi uliopo Magharibi na nje kidogo ya Jiji la Mbeya (njia ya Tunduma).
Kwa sasa shule ina wanafunzi 1200. wakiwemo 500 kidato cha tano na sita na 700 wa kidato cha kwanza hadi cha nne.

Kwa A level michepuo iliyopo ni CBG, HGE, HGK, HKL, HGL na EGM.
Karibu sana Maweni Sekondari.


Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0754 603 777
Mkuu wa Shule.

N.B Malipo yote yafanyike katika Account No 60706600135 (NMB) hii.


Friday, August 1, 2014

HARUSI YA EV. JOHN NA SEHEWA

LUSAJO MEDIA PRODUCTION inakuletea Harusi ya Mtumishi wa Mungu Ev. John na Sehewa Chinyuli iliyofanyika katika Kanisa la Anglican Ukonga Mazizini mnamo Tarehe 26 Julai 2014. Na baadae katika ukumbi wa Moshi, Ukonga.
Mr & Mrs John Chinyuli wakiwa katika uso wa furaha baada ya kufunga harusi


 Mchungaji wa ushirikani hapo akifungisha ndoa ya watumishi hawa

Wasimamizi wa Maharusi wakiwa katika hali ya Furaha kubwa baada ya kuwasindikiza ndugu zao

Kulikamilika kupita maelezo

Sherehe iliongozwa kwa umahiri mkubwa sana wenye mitikisiko ya furaha, chini ya MC JEMIMA

Hawa ndugu walikuwa na furaha isiyokuwa na kifani kwa maana hawakuamini kama siku hii yao maalum imefika na kufanikiwa kwa sehemu kubwa sana.




Ndugu John akijaribu kumwuliza mpambe mwenzie kanuni nzima ya keki

 Yaaaani hapo John anasema ubachela bai bai

Akishuka kwa unyenyekevu mkubwa.

 CEO wa Lusajo Media Production (katikati) akiwa pamoja na maharusi kwa furaha kubwa wakati sherehe zikiendelea.

















Ahsante kwa kuchagua LMP kwa kazi zenye ubora zaidi.
LUSAJO MEDIA PRODUCTION tunawatakia Heri ya maisha mema na Mungu wetu wa Mbinguni na awabariki sana.